Welcome To The MORUWASA Website....Enjoy a Quality of Service from MORUWASA                                                   TOLL FREE NUMBER: 0800751011|| for Reporting Leakages, Bill inquiry and any other inquiry       ::- E-mail: info@moruwasa.go.tz   P. O. Box 5476,Morogoro- Tanzania      ::-   ::- Customer Service hours         Monday to Friday(Excluding public holday) 07:30hrs to 16:30hrs

Ufafanuzi

Water Service
  • Maji IS
  • Water Production Data Entry
  • Dashboard
  • KUANGALIA BILI YA MAJI KUPITIA SIMU
    1. PIGA *152*00#
    2. CHAGUA 6.MAJI
    3. CHAGUA 1. HUDUMA ZA MAJI ZA PAMOJA
    4. CHAGUA 6 ULIZA BILI
    5. INGIZA NAMBA YA AKAUNTI
    6. CHAGUA NAMBA 1
    7. INGIZA NAMBA YAKO YA SIRI
    8. UTAPOKEA UJUMBE WA BILI KUTOKA 15200

News


August
25
2023
MORUWASA, WAMIRUVU KUSHIRIKIANA NA WORLD WATERNET KUHIFADHI KIDAKIO CHA NGERENGERE

Shirika la World Waternet Kupitia Progamu ya WaterWorx limekutana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) na Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu na kujadili mpango kazi wa pamoja wa kuhifadhi kidakio cha Ngerengere katika kikao kilichofanyika mapema leo A katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa MORUWASA .

August
24
2023
MORUWASA YASHIRIKISHA WADAU MAPENDEKEZO YA BEI MPYA ZA MAJI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) imekutana na wadau mbalimbali na kupokea maoni yao kuhusu mapendekezo ya bei Mpya za huduma za Maji kwenye kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Edema, Morogoro.