Welcome To The MORUWASA Website....Enjoy a Quality of Service from MORUWASA                                                   TOLL FREE NUMBER: 0800751011|| for Reporting Leakages, Bill inquiry and any other inquiry       ::- E-mail: info@moruwasa.go.tz   P. O. Box 5476,Morogoro- Tanzania      ::-   ::- Customer Service hours         Monday to Friday(Excluding public holday) 07:30hrs to 16:30hrs

Ufafanuzi

News


JULY
19
2024
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) Mha. Tamim Katakweba amefanya ziara ya kushtukiza katika Kata ya Kauzeni kwa lengo la kukagua hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika maeneo mbali mbali ya kata hiyo.

MAY
25
2024
Naibu waziri wa sekta ya maji Mhe Mhandisi Kundo Mathew amewapongeza watumishi wa sekta ya maji mkoani Morogoro kwa kufanya kazi kwa bidii na kuifanya sekta hiyo kuwa ni msaada wa upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro.

MAY
20
2024
MORUWASA imetembelewa na wawakilishi kutoka EWURA Kanda ya Kati ambao wamefika kwa lengo la kutekeleza majukumu yao ya kiudhibiti katika Mamlaka yetu ikiwa ni pamoja na kukagua utekelezaji wa majukumu yetu.