Water Service
News
JULY
19
2024
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) Mha. Tamim Katakweba amefanya ziara ya kushtukiza katika Kata ya Kauzeni kwa lengo la kukagua hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika maeneo mbali mbali ya kata hiyo.
MAY
25
2024
Naibu waziri wa sekta ya maji Mhe Mhandisi Kundo Mathew amewapongeza watumishi wa sekta ya maji mkoani Morogoro kwa kufanya kazi kwa bidii na kuifanya sekta hiyo kuwa ni msaada wa upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro.
MAY
20
2024