Completed Project

MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOROGORO

MIRADI YA MAJISAFI NA MAJITAKA ILIYOTEKELEZWA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2015-2020

Na

Mkoa

Jina la Mradi

Kazi zilizopangwa

Kazi zilizotekelezwa/zinazotekelezwa

Jina La Mkandarasi

Tarehe ya kusaini Mkataba

Tarehe ya kuanza kazi

Tarehe ya kukamilika kazi

Gharama ya Mradi

Kiasi kilicholipwa

Hali ya Mradi (status in %)

Idadi ya wanufaika

Aina ya chanzo cha maji kilichotumika kwenye Mradi

1 Morogoro

. Ujenzi wa Bomba kuu la msereleko toka Mto Morogoro na Kibwe umbali wa kilomita 7.4 mpaka kwenye bomba litakalopeleka maji ukanda wa Viwandani, Kihonda, na kituo cha SGR lilopo Tumbaku.

• Ukarabati wa banio la maji Mambogo.
• Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo. cha mm 300 kwa umbali wa kilometa 2.7 kutoka Mambogo hadi Kingalu.
• Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 200 kwa umbali wa kilometa 1.7 kutoka Kibwe hadi Kingalu.

• Ukarabati wa bomba kuu kutoka Tumbaku hadi Kihonda Mizani. • Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 400 kwa umbali wa kilometa 4.5 kutoka Kingalu hadi Tumbaku - kazi inaendelea.

MORUWASA

12.12.2019

12.12.2019

30.06.2022 (Date to be revised)

2275213981.9

1906741236.47

80%

120000

Mto Mambogo

2 Morogoro

a).Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 la kuingizia Maji kwenye tanki la Mguru wa Ndege umbali wa kilomita 3.5 – Force Accout

b). Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji eneo la mizani pamoja na ununuzi na ufungaji wa pampu mbili (booster pump)

 

a).Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 kwa umbali wa kilometa 3.5 kutoka Kihonda Mizani hadi kwenye Tanki la Mguru wa Ndege

b).•Ununuzi wa pampu 2 za kusukuma maji. • Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji Kihonda-Mizani.

a).• Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 kwa umbali wa kilometa 3.5 kutoka Kihonda Mizani hadi kwenye Tanki la Mguru wa Ndege.

 

b).•Ununuzi wa pampu 2 za kusukuma maji • Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji Kihonda-Mizani - kazi inaendelea

 

 

MORUWASA

 

Dynotec Engineering Company Limited

12.12.2019

 

 

 

30.03.2022

12.12.2019

 

 

 

30.03.2022

30.06.2022 (Date to be revised)

 

 

15.08.2022 (Date to be revised)

    1657866524.58

                 1319110776.13

80% 120000 Bwawa la Mindu na Mto Mambogo
3 Morogoro

4. Ujenzi wa birika la maji lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza

•Ujenzi wa tenki lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza..

•Ujenzi wa tenki lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza.

Gilco (2000) Company Limited

12.04.2022

12.04.2022

12.07.2022 (Date to be revised)

468467886

70270182.9

12% 120000 Bwawa la Mindu na Mto Mambogo
4 Morogoro

Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Magadu

•Ujenzi wa banio la maji (intake). •Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 160 kutoka chanzo cha maji mpaka eneo la birika la maji umbali wa Km 2.5. •Ujenzi wa tenki la maji Mghambazi lenye meta za ujazo 500. • Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 27.7 • Ujenzi wa vituo vya kupunguza msukumo wa maji.

•Ujenzi wa banio la maji (intake). •Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 160 kutoka chanzo cha maji mpaka eneo la birika la maji umbali wa Km 2.5. •Ujenzi wa tenki la maji Mghambazi lenye meta za ujazo 500 - kazi inaendelea. • Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 27.7 - kazi inaendelea.

MORUWASA

05.05.2020

05.05.2020

30.06.2022 (Date to be revised)

1736565737.69

1736565737.33

70% 23000 Mto Mlali
5 Morogoro

Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Mindu

•Ujenzi wa •Ujenzi wa laini ya bomba kuu lenye kipenyo cha mm 200 umbali wa km 12.3 kutoka kwenye chanzo hadi tenki la maji Mindu. •Ujenzi wa birika la maji Mindu lenye meta za ujazo 500. •Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 13.5 •Ujenzi wa vituo vya kupunguza msukumo wa maji.

•Ujenzi wa bomba kuu lenye umbali wa km 1.7 •Ujenzi wa laini ya bomba kuu lenye kipenyo cha mm 200 umbali wa Km 11.89 kutoka kwenye chanzo hadi tenki la maji Mindu (manunuzi ya bomba na viungio yanaendelea).

 

b).•Ujenzi wa tenki la maji Mindu lenye meta za ujazo 500 pamoja na jenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 13.5- kazi iko kwenye hatua za manunuzi ya Mkandarasi.

MORUWASA

 

 

 

Hatua ya tathmini ya Zabuni

05.05.2020

 

 

Null

05.05.2020

 

 

Null

30.06.2022 (Date to be revised)

 

Null

2986596969.9218

286804734.68

15% 9334 Mto Katiwa-Luhungo
6 Morogoro

Uboreshaji huduma ya
maji mji wa Mikumi-Awamu ya I (Ujenzi wa banio la maji, chujio na
bomba kuu la mserereko kutoka Madibila hadi Mowlem).

•Usafishaji wa eneo la ujenzi wa Banio la maji mto Madibila. •Usafishaji wa njia ya kupita kuelekea kwenye banio la maji umbali wa mita 800.

•Ujenzi wa Banio la maji mto Madibila. •Ujenzi wa bomba Kuu la mserereko lenye kipenyo cha DN 300mm kutoka chanzo cha mto Madibila hadi kwenye Mabirika ya kuhifadhia maji ya Mowlem Jeshini umbali wa Kilometer 6.7.

Helpdesk Engineering Tanzania Limited

15.04.2022

15.04.2022

30.04.2022

3186847903

637369580.6

8% 28000 Mto Madibila