Completed Project
|
||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||
Na |
Mkoa |
Jina la Mradi |
Kazi zilizopangwa |
Kazi zilizotekelezwa/zinazotekelezwa | Jina La Mkandarasi |
Tarehe ya kusaini Mkataba |
Tarehe ya kuanza kazi |
Tarehe ya kukamilika kazi |
Gharama ya Mradi | Kiasi kilicholipwa |
Hali ya Mradi (status in %) |
Idadi ya wanufaika |
Aina ya chanzo cha maji kilichotumika kwenye Mradi |
|||||||||||
1 | Morogoro | . Ujenzi wa Bomba kuu la msereleko toka Mto Morogoro na Kibwe umbali wa kilomita 7.4 mpaka kwenye bomba litakalopeleka maji ukanda wa Viwandani, Kihonda, na kituo cha SGR lilopo Tumbaku. |
• Ukarabati wa banio la maji Mambogo. |
• Ukarabati wa bomba kuu kutoka Tumbaku hadi Kihonda Mizani. • Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 400 kwa umbali wa kilometa 4.5 kutoka Kingalu hadi Tumbaku - kazi inaendelea. |
MORUWASA | 12.12.2019 |
12.12.2019 |
30.06.2022 (Date to be revised) |
2275213981.9 |
1906741236.47 |
80% |
120000 |
Mto Mambogo |
|||||||||||
2 | Morogoro | a).Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 la kuingizia Maji kwenye tanki la Mguru wa Ndege umbali wa kilomita 3.5 – Force Accout b). Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji eneo la mizani pamoja na ununuzi na ufungaji wa pampu mbili (booster pump)
|
a).Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 kwa umbali wa kilometa 3.5 kutoka Kihonda Mizani hadi kwenye Tanki la Mguru wa Ndege b).•Ununuzi wa pampu 2 za kusukuma maji. • Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji Kihonda-Mizani. |
a).• Ujenzi wa bomba kuu lenye kipenyo cha mm 300 kwa umbali wa kilometa 3.5 kutoka Kihonda Mizani hadi kwenye Tanki la Mguru wa Ndege.
b).•Ununuzi wa pampu 2 za kusukuma maji • Ujenzi wa kituo kipya cha kusukuma maji Kihonda-Mizani - kazi inaendelea
|
MORUWASA
Dynotec Engineering Company Limited |
12.12.2019
30.03.2022 |
12.12.2019
30.03.2022 |
30.06.2022 (Date to be revised)
15.08.2022 (Date to be revised) |
1657866524.58 |
1319110776.13 |
80% | 120000 | Bwawa la Mindu na Mto Mambogo | |||||||||||
3 | Morogoro | 4. Ujenzi wa birika la maji lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza |
•Ujenzi wa tenki lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza.. |
•Ujenzi wa tenki lenye ujazo wa lita 1,000,000 katika Mlima Magereza. |
Gilco (2000) Company Limited |
12.04.2022 |
12.04.2022 |
12.07.2022 (Date to be revised) |
468467886 |
70270182.9 |
12% | 120000 | Bwawa la Mindu na Mto Mambogo | |||||||||||
4 | Morogoro | Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Magadu |
•Ujenzi wa banio la maji (intake). •Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 160 kutoka chanzo cha maji mpaka eneo la birika la maji umbali wa Km 2.5. •Ujenzi wa tenki la maji Mghambazi lenye meta za ujazo 500. • Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 27.7 • Ujenzi wa vituo vya kupunguza msukumo wa maji. |
•Ujenzi wa banio la maji (intake). •Ujenzi wa Bomba kuu lenye kipenyo cha mm 160 kutoka chanzo cha maji mpaka eneo la birika la maji umbali wa Km 2.5. •Ujenzi wa tenki la maji Mghambazi lenye meta za ujazo 500 - kazi inaendelea. • Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 27.7 - kazi inaendelea. |
MORUWASA |
05.05.2020 |
05.05.2020 |
30.06.2022 (Date to be revised) |
1736565737.69 |
1736565737.33 |
70% | 23000 | Mto Mlali | |||||||||||
5 | Morogoro | Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Mindu |
•Ujenzi wa •Ujenzi wa laini ya bomba kuu lenye kipenyo cha mm 200 umbali wa km 12.3 kutoka kwenye chanzo hadi tenki la maji Mindu. •Ujenzi wa birika la maji Mindu lenye meta za ujazo 500. •Ujenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 13.5 •Ujenzi wa vituo vya kupunguza msukumo wa maji. |
•Ujenzi wa bomba kuu lenye umbali wa km 1.7 •Ujenzi wa laini ya bomba kuu lenye kipenyo cha mm 200 umbali wa Km 11.89 kutoka kwenye chanzo hadi tenki la maji Mindu (manunuzi ya bomba na viungio yanaendelea).
b).•Ujenzi wa tenki la maji Mindu lenye meta za ujazo 500 pamoja na jenzi wa laini kuu ya bomba za kusambazia maji umbali wa Km 13.5- kazi iko kwenye hatua za manunuzi ya Mkandarasi. |
MORUWASA
Hatua ya tathmini ya Zabuni |
05.05.2020
Null |
05.05.2020
Null |
30.06.2022 (Date to be revised)
Null |
2986596969.9218 |
286804734.68 |
15% | 9334 | Mto Katiwa-Luhungo | |||||||||||
6 | Morogoro | Uboreshaji huduma ya |
•Usafishaji wa eneo la ujenzi wa Banio la maji mto Madibila. •Usafishaji wa njia ya kupita kuelekea kwenye banio la maji umbali wa mita 800. |
•Ujenzi wa Banio la maji mto Madibila. •Ujenzi wa bomba Kuu la mserereko lenye kipenyo cha DN 300mm kutoka chanzo cha mto Madibila hadi kwenye Mabirika ya kuhifadhia maji ya Mowlem Jeshini umbali wa Kilometer 6.7. |
Helpdesk Engineering Tanzania Limited |
15.04.2022 |
15.04.2022 |
30.04.2022 |
3186847903 |
637369580.6 |
8% | 28000 | Mto Madibila |