• 0736737736
  • Vacancies
  • Staff Mail
  • Tenders
  • Contact Us
  • FAQs
tanzania
Ministry of Water

Morogoro Water Supply and Sanitation Authority

(MORUWASA)

Logo
  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Awards
  • Administrations
    • Profile
    • Organisation Structure
    • Board Of Directors
    • Management
    • Quality Policy
  • Water Facilities
    • Mindu
    • Mambogo
    • Kilosa
    • Mikumi
    • Kigurunyembe
    • Mwanzo Mgumu
    • Misongeni
    • Vituli
    • Kibwe
  • Our Projects
    • coming
    • Ongoing
    • Completed
  • Our Publication
    • Dashboard
    • Download Forms
    • Brochure
    • News Letter
    • Tariff
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
  • Payment Methods
Profile
Eng. Tamim Katakweba
MD
Biography

Welcome To MORUWASA

Under construction
Ziara ya waziri wa maji
MORUWASA imepokea ugeni wa Naibu Waziri wa Maji Mh. Maryprisca Mahundi ambapo ameongea na Menejimenti ya MORUWASA na kusisitiza ushirikiano katika kazi na uwajibikaji kwa Maslahi ya Umma, Tarehe 15.01.2021.
Murugenzi akiwa kwenye kikao
Mkurugenzi Eng. Tamim katakweba pamoja na menejimenti meza kuu wakiwa kwenye kikao na baadhi ya watumishi Wa MORUWASA. Tarehe 12.01.2021
Ziara ya katibu uenezi
Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey H.Polepole ametembelea chanzo cha maji Mambogo tarehe 10.01.2021
Ufafanuzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) Mhandisi Tamim Katakweba akielezee mipango mikakati ya utekelezaji wa uboreshaji wa Mradi wa Majisafi na usafi wa Mazingira wa Maji wa morogoro baada ya Serikali ya Tanzania na Shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD) kusaini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu, wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilion 175.6 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo. May 27,2020
Murugenzi akiwa kwenye kikao
Meza kuu ikiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara ya Maji akiwemo Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Anthony Sanga (wa pili kushoto waliosimama) pamoja na wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingra Morogoro (MORUWASA).May 27,2020
Bwawa la Mindu
Bwawa la Mindu chanzo kikubwa cha maji kinachohudumia zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wa Manispaa ya Morogoro.
Previous Next
Announcements
  •   Download Forms
  • MORUWASA Facebook Page
More Announcements

MORUWASA Dashboard

service
Dashboard

Read More.....

View Details

Staff Service
  • Dashboard
  • Water Production Data Entry
  • DODOSO - TATHMINI YA MADENI

News


July
08 th
2020
MORUWASA imekabidhiwa Mabwawa

MORUWASA imekabidhiwa Mabwawa ya Majitaka yaliyokua yakifanyiwa Ukarabati na Kampuni Tanzu ya Shirika la Mzinga Makao Makuu Morogoro baada ya Ukarabati kukamilika, Mabwawa hayo yamekabidhiwa mbele ya Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Dkt. Tito Kazige.

March
03 th
2020
Ziara ya Ujumbe wa Maseneta

2020 MORUWASA imeshiriki Ziara ya Ujumbe wa Maseneta kutoka Ufaransa ambao umetembelea Miradi inayotekelezwa kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) katika maeneo ya Bwawa la Mindu, Mafiga Treatment plant na Mabwawa ya majitaka Mafisa. Maseneta hao wameahidi ushirikiano katika kuleta maendeleo kwenye huduma ya Majisafi na Uondoshaji wa majitaka.

More News
MORUWASA Online Media

HOW TO USE USSD MENU

Step 1.
*152*00#
Step 2.

6. Maji.

step 3.

2.Mamlaka za Maji

step 4.

10. Next

Step 5.
9. MORUWASA

*Chagua huduma

Quick Links

  • Morogoro region
  • Wizara ya Maji
  • Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA)

External Links

  • Ikulu
  • Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)
  • Public Procurement Regulatory Authority

VISTORS COUNTER


New Moruwasa
  • Sitemap
  • Terms and Conditions
  • Disclaimer
Copyright © 2020 Morogoro Water Supply and Sanintation Authority .
All Rights Reserved.
Designed and developed by Moruwasa ICT Department.