Water Service
News
AUGUST
23
2024
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi MORUWASA, Prof. Romanus Ishengoma pamoja na wajumbe wa bodi hiyo wametembelea na kukagua utekelezaji wa uchimbaji wa visima virefu wenye lengo la kutafiti upatikanaji wa maji chini ya ardhi katika eneo la Dakawa.
AUGUST
07
2024
RC CHALAMILA AMPONGEZA AWESO KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MAJI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila amempongeza Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso kwa usimamizi wake mzuri wa Sekta ya Maji nchini.
AUGUST
05
2024
MMHE. AWESO ATEMBELEA BANDA LA SEKTA YA MAJI
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso amepongeza ushirikiano baina ya Taasisi za sekta ya Maji Morogoro na kuzitaka kuendelea kushirikiana katika kuhakikisha lengo la kutoa huduma ya maji ya uhakika kwa wananchi wa Morogoro linatimia.